Jeshi la Polisi kitengo cha majini kimekamata
tani zipatazo 20 za mafuta ya Dizeli yaliyokuwa
katika Jahazi lililokuwa kando ya bandari ya Dar
es Salaam likijiandaa kwa safari ya kwenda
Zanzibar.
Mkuu wa Kitengo hicho cha polisi cha wanamaji
Bwana Mboje John Kanga amesema watu
watano wanashikiliwa kuhusiana na tukio hilo na
uchunguzi zaidi unaendelea.
Uncategories
Jeshi la polisi kitengo cha majini
kimekamata mafuta ya wizi katika bandari
ya Dar es Salaam.
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon