Katika hali isiyo ya kawaida mwanamke
moja ambae hakufahamika jina lake mara moja
amepanda juu ya paa la moja ya jengo lililopo
katika Wizara ya fedha jijini Dar es salaam huku
akidai hashuki mpaka afike kamanda wa polisi ili
amueleze manyanyaso anayoyapata kutoka kwa
askari huko alikotoka nchini Kenya.
Uncategories
Mwanamke
moja ambae hakufahamika jina lake mara moja
amepanda juu ya paa la moja ya jengo lililopo
katika Wizara ya fedha jijini Dar es salaam
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon