Samatta ameikuta Genk ina mastraika sab
kutoka Uturuki, Jamaica, Ugiriki, Georgia n
wazawa wa Ubelgiji.
KWA mwanetu Mbwana Samatta tunayemjua n
kwa Genk hii aliyokwenda, labda alogwe. Lakin
hakuna kitakachomzuia kuingia kwenye kiko
cha kwanza baada ya jana Ijumaa jioni kusain
mkataba wa miaka minne ambao unaanzi
2016-2020 mwaka ambao Rais John Magufu
atakuwa anatimiza miaka mitano ya kuongoz
nchi.
Samatta ameikuta Genk ina mastraika sab
kutoka Uturuki, Jamaica, Ugiriki, Georgia n
wazawa wa Ubelgiji.
Huyo straika wa Uturuki anaitwa Enes Unal
mchezaji wa Manchester City ya England ambay
ameletwa Genk kwa mkopo wa misimu miwili hu
ni msimu wake wa kwanza na amepachika ba
moja tu katika mechi zaidi ya 10 alizocheza.
Huyo wa Georgia ni jamaa mmoja mtata san
uwanjani anaitwa Nikolaos Karelis anatumia gu
la kushoto, mpaka sasa amefunga bao moja tu.
Sasa kuna mashine zao mbili wanazoziamini
ijapokuwa kiuhalisia umri umewatupa. Mmoj
anaitwa Igor Alberto Camargo ana miaka 3
huyu jamaa amefunga mabao matano tu katik
mechi zote 23 alizocheza.
Ni Mbrazili aliyepewa uraia wa Ubelgiji. Ha
wangapi? Staa mwingine ni kibabu pia ana miak
34 wanamuita Thomas Buffel ni pande fulani l
mtu amefunga mabao matatu. Huyo wa Jamaic
anaitwa Leon Bailey ni bwana mdogo kuliko hat
Samatta, yeye ana mabao matatu.
Hao mafowadi wengine wala hata usitak
kuwajua utakuwa unapoteza muda wako tu. Il
kwa jinsi Samatta alivyopania lazima mtu aend
benchi.Sikia sasa mastraika saba wa Genk kw
ujumla wao katika mechi zote 23 walizochez
wamefunga mabao 12. Buffel na Camarg
wamefunga mabao manane kati ya hayo
Ukiangalia takwimu hizo za mabao unapata jib
la kwanini Kocha Mbelgiji, Peter Maes alimtak
Samatta kwa nguvu zote kuokoa kibarua chake
Genk ipo katika nafasi ya sita kwenye msimam
wa Ligi ikiwa pointi 32, huku AA Gent wakiongoz
msimamo kwa pointi 49.
Kwenye timu hiyo kuna Wakongomani wann
ambao wamezaliwa Ubelgiji wana uraia wa nc
mbalimbali. Wakongomani hao ni Derick Katuk
Tshimanga ambaye ni beki wa kushot
anayetumia mguu wa kulia mwenye kilo 68 an
miaka 27.
Mwingine ni Christian Kabasele ambaye ni bong
la beki anatumia guu la kulia na kwa sas
amepachika mabao mawili kwenye ligi. Kun
Mkongo Mwingine anaitwa Neesken Kebano
kiungo ana mabao matatu msimu huu.
Kuna Mnigeria anaitwa Onyinye Ndidi ni bek
fulani mjanja mjanja mwenye bao moja. Yul
Mghana Bennard Kumordzi ni beki. Wachezaj
hao wameshazoea mazingira kwenye kikosi hich
na huenda wakawa msaada mkubwa kw
Mbwana Samatta ambaye jana Ijumaa alitara
kufanyiwa vipimo vya afya pamoja na T
Mazembe kumalizana na Genk.
TP Mazembe jana ilikuwa kwenye mishemishe z
kumalizana na Genk na kupokea dau lao la zaid
ya Sh.1.8 bilioni ambapo Simba wanasubiri mga
wao kutoka hapo. Klabu ya Genk baada y
kushiriki Ligi ya Mabingwa mwaka 2012 iliwauz
kipa wa sasa wa Chelsea, Thibaut Courtois n
Kevin De Bruyne ambaye pia alienda Chelse
kabla ya kutua Man City. Ilimuuza pia Christia
Benteke kwa Aston Villa, sasa yuko Liverpool.
Uncategories
Samatta ameikuta Genk ina mastraika sab
kutoka Uturuki, Jamaica, Ugiriki, Georgia n
wazawa wa Ubelgiji.
KWA mwanetu Mbwana Samatta tunayemjua n
kwa Genk hii aliyokwenda, labda alogwe. Lakin
hakuna kitakachomzuia kuingia kwenye kiko
cha kwanza baada ya jana Ijumaa jioni kusain
mkataba wa miaka minne ambao unaanzi
2016-2020 mwaka ambao Rais John Magufu
atakuwa anatimiza miaka mitano ya kuongoz
nchi.
Samatta ameikuta Genk ina mastraika sab
kutoka Uturuki, Jamaica, Ugiriki, Georgia n
wazawa wa Ubelgiji.
Huyo straika wa Uturuki anaitwa Enes Unal
mchezaji wa Manchester City ya England ambay
ameletwa Genk kwa mkopo wa misimu miwili hu
ni msimu wake wa kwanza na amepachika ba
moja tu katika mechi zaidi ya 10 alizocheza.
Huyo wa Georgia ni jamaa mmoja mtata san
uwanjani anaitwa Nikolaos Karelis anatumia gu
la kushoto, mpaka sasa amefunga bao moja tu.
Sasa kuna mashine zao mbili wanazoziamini
ijapokuwa kiuhalisia umri umewatupa. Mmoj
anaitwa Igor Alberto Camargo ana miaka 3
huyu jamaa amefunga mabao matano tu katik
mechi zote 23 alizocheza.
Ni Mbrazili aliyepewa uraia wa Ubelgiji. Ha
wangapi? Staa mwingine ni kibabu pia ana miak
34 wanamuita Thomas Buffel ni pande fulani l
mtu amefunga mabao matatu. Huyo wa Jamaic
anaitwa Leon Bailey ni bwana mdogo kuliko hat
Samatta, yeye ana mabao matatu.
Hao mafowadi wengine wala hata usitak
kuwajua utakuwa unapoteza muda wako tu. Il
kwa jinsi Samatta alivyopania lazima mtu aend
benchi.Sikia sasa mastraika saba wa Genk kw
ujumla wao katika mechi zote 23 walizochez
wamefunga mabao 12. Buffel na Camarg
wamefunga mabao manane kati ya hayo
Ukiangalia takwimu hizo za mabao unapata jib
la kwanini Kocha Mbelgiji, Peter Maes alimtak
Samatta kwa nguvu zote kuokoa kibarua chake
Genk ipo katika nafasi ya sita kwenye msimam
wa Ligi ikiwa pointi 32, huku AA Gent wakiongoz
msimamo kwa pointi 49.
Kwenye timu hiyo kuna Wakongomani wann
ambao wamezaliwa Ubelgiji wana uraia wa nc
mbalimbali. Wakongomani hao ni Derick Katuk
Tshimanga ambaye ni beki wa kushot
anayetumia mguu wa kulia mwenye kilo 68 an
miaka 27.
Mwingine ni Christian Kabasele ambaye ni bong
la beki anatumia guu la kulia na kwa sas
amepachika mabao mawili kwenye ligi. Kun
Mkongo Mwingine anaitwa Neesken Kebano
kiungo ana mabao matatu msimu huu.
Kuna Mnigeria anaitwa Onyinye Ndidi ni bek
fulani mjanja mjanja mwenye bao moja. Yul
Mghana Bennard Kumordzi ni beki. Wachezaj
hao wameshazoea mazingira kwenye kikosi hich
na huenda wakawa msaada mkubwa kw
Mbwana Samatta ambaye jana Ijumaa alitara
kufanyiwa vipimo vya afya pamoja na T
Mazembe kumalizana na Genk.
TP Mazembe jana ilikuwa kwenye mishemishe z
kumalizana na Genk na kupokea dau lao la zaid
ya Sh.1.8 bilioni ambapo Simba wanasubiri mga
wao kutoka hapo. Klabu ya Genk baada y
kushiriki Ligi ya Mabingwa mwaka 2012 iliwauz
kipa wa sasa wa Chelsea, Thibaut Courtois n
Kevin De Bruyne ambaye pia alienda Chelse
kabla ya kutua Man City. Ilimuuza pia Christia
Benteke kwa Aston Villa, sasa yuko Liverpool.
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon